Search This Blog

Thursday, 1 January 2015

Employment training( fursa za mikopo na biashara kubwa) mnakaribishwa kiingilio ni bureee

GOOD NEWS, GOOD NEWS, GOOD NEWS!
 Life after school training 

Fursa za kazi kwa vijana waliopo vyuoni na waliomaliza. Life after school training  Ahadiway life development initiative imeandaa mafunzo na fursa za wanafunzi waliopo vyuoni na waliomaliza kuwawezesha kupata kazi mara baada ya kumaliza masomo. Ahadiway imeandaa mafunzo ya ajira na kujiajiri na kujitambua na kukuwezesha kuwamstari wa mbele katika maendeleo. Ahadiway itahakikisha kila mhitimu na yule aliopo chuoni kupata mafunzo na nyenzo za kazi atafanikiwa. Njoo upate nafasi ya kujiandaa na maisha ya sasa na baada ya chuo na jinsi gani unaweza kuyaandaa bado ukiwa chuoni. Njoo kwenye mafunzo hayo bila kukosa. Hakuna kiingilio. Yatafanika jumapili ya tar 04/01/2015 kuanzia saa 8 mchana hadi saa 10 tupo karibu na ofisi za itv wanaporushia matangazo  mwenge Dar es salaam. Msikose kufika ukipata ujumbe huu mjulishe mwenzako. . Wasiliana kwa number zifuatazo 0655490254 au 0789273938 au tembelea http://ahadiway.blogspot.com/  au https://www.facebook.com/pages/Ahadiway/539124546128964



No comments:

Post a Comment