Nafasi mpya za kazi
house maids (waangalizi wa nyumba wa kike),
2 female home care (nurse) (walezi wa watoto wakike)
female home drivers (madereva wa kike)
Nchi –DUBAI
Mshahara kuanzia $250 kwa mwezi.
Vigezo.
1.Unahitajiwa uwe unasikia kingereza kidogo
2.Uwe na uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa.
3.uwe na uwezo wa kuelekezwa kitu na kufanya.
Faida utakazo pata.
4.Uwe na umri wa miaka 18-40
1.utalipiwa viza
2.utalipiwa tiketi ya ndege kwenda na kurudi.
3.utapatiwa bima ya afya
4.utapatiwa nguo za kuvaa
5.utapatiwa chakula sikuzote ukiwa kazini
6.utapatiwa sehemu malazi(sehemu ya kulala)
Mkataba miaka miwili tu.
Mawasiliano 0714979954 Glory na 0714060402 Derric.
https://www.facebook.com/pages/Ahadiway/539124546128964
Search This Blog
Friday, 12 June 2015
Thursday, 11 June 2015
AHADIWAY BOON CAREER(ABC) CHAPTER
AHADIWAY LIFE DEVELOPMENT INITIATIVE Is a Nongovernmental
organization registered in Tanzania under
NGO act no 24 of 2002.Its goals to change the passive culture amongst
youth by making them to secure their
existence in the social-economic environment in Tanzania and play their role in
the future leadership.
YOUTH BOON CAREER; This
is a project under Ahadiway Life Development initiative NGO which intends to
serve youth who are in High learning institutions due to unemployment facing Tanzania currently. Through
this project the organization intends to enhance employability technics.
PROJECT
OBJECTIVE
To
increase employment rates by providing self-employment skills to youths,
especially those who are in and fresh from universities.
The organization
will be conducting seminars, workshops and other forms of trainings to input
youths with necessary skills and confidence so that they can be able to tackle
the unemployment reality after finishing their studies.
WHAT WE DO
WHAT WE DO
v We help chapter members to get field
stations, part time/full time jobs, and places for voluntary jobs.
v We help the chapter members to get employment
within or outside the country.
v We provide advisory services to students
on how to manage funds they get to start or control business.
BECOMING A MEMBER
The students should create and organize the chapter which
will operate under the supervision of the organization, dean of students and students’ government of the particular
institution Student should fill the registration forms which will be available at the students
organization then the forms should be
submitted to the NGO`s headquarter.
ADVANTAGES FOR
JOINING AHADIWAY BOON CAREER (ABC) CHAPTER
v
Employment opportunities within and outside the
country.
v
Job experience
v
Self -employment
v
Field stations, part time jobs and chances to be
trained.
Project
lineup
Media &communication: Lina F. Mrimia
0654193108
Program coordinator:
Lhino
Kalinga 0713808575
Ahadiway headquater po.box 14778 dar-es-salaam tell;+255658313414
/+255789273938 ; email
ahadiway@gmail.com
Monday, 25 May 2015
nafasi za kazi 25/05/2015
Nafasi mpya za kazi
house maids (waangalizi wa nyumba wa kike),
2 female home care (nurse) (walezi wa watoto wakike)
female home drivers (madereva wa kike)
Nchi –DUBAI
Mshahara kuanzia $250 kwa mwezi.
Vigezo.
1.Unahitajiwa uwe unasikia kingereza kidogo
2.Uwe na uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa.
3.uwe na uwezo wa kuelekezwa kitu na kufanya.
4.Uwe na umri wa miaka 18-40
Faida utakazo pata.
1.utalipiwa viza
2.utalipiwa tiketi ya ndege kwenda na kurudi.
3.utapatiwa bima ya afya
4.utapatiwa nguo za kuvaa
5.utapatiwa chakula sikuzote ukiwa kazini
6.utapatiwa sehemu malazi(sehemu ya kulala)
Mkataba miaka miwili tu.
Mawasiliano 0714979954 Glory na 0715060402 Derric.
https://www.facebook.com/pages/Ahadiway/539124546128964
house maids (waangalizi wa nyumba wa kike),
2 female home care (nurse) (walezi wa watoto wakike)
female home drivers (madereva wa kike)
Nchi –DUBAI
Mshahara kuanzia $250 kwa mwezi.
Vigezo.
1.Unahitajiwa uwe unasikia kingereza kidogo
2.Uwe na uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa.
3.uwe na uwezo wa kuelekezwa kitu na kufanya.
4.Uwe na umri wa miaka 18-40
Faida utakazo pata.
1.utalipiwa viza
2.utalipiwa tiketi ya ndege kwenda na kurudi.
3.utapatiwa bima ya afya
4.utapatiwa nguo za kuvaa
5.utapatiwa chakula sikuzote ukiwa kazini
6.utapatiwa sehemu malazi(sehemu ya kulala)
Mkataba miaka miwili tu.
Mawasiliano 0714979954 Glory na 0715060402 Derric.
https://www.facebook.com/pages/Ahadiway/539124546128964
Wednesday, 28 January 2015
AHADIWAY NI NINI?
AHADIWAY NI NINI?
Ni asasi
isiyo ya kiserikali inayoshughulika hasa na masuala ya kijamii.
Asasi hii
ilisajiliwa rasmi tarehe 06 Januari 2014 chini ya kifungu cha sheria 12(2) ya
2002 (The None Government Organisation Act)
Asasi hii imejikita katika mchakato wa kupunguza umaskini kwa kuwapatia watanzania wote mbinu za kuweza
kupambana na umaskini.
WALENGWA
NI AKINA NANI?
Kila
mtanzania aliyefikisha umri wa miaka kumi na nane na kuendelea aliye tayari
kubadilika kimtazamo na kuukataa umaskini.
NAWEZAJE
KUWA MWANACHAMA WA AHADIWAY?
Ili uwe
mwanachama wa Ahadiway unapaswa uwe katika kikundi cha watu watano ( 5) mpaka
kumi na tano (15) mliokubaliana kuungana . Gharama za kujiunga kama kikundi ni
sh laki tatu (300,000) Pesa hii itatumika katika usajili wa kikundi hicho kama
kampuni itakayotambuliwa na BRELLA. Cheti hicho kitasaidia kikundi katika
kutekeleza majukumu yake ikiwa ni pamoja na kuaminika kukopeshwa pesa kutoka
taasisi za fedha,
FURSA
ZIPATIKANAZO AHADIWAY.
Kama taasisi
inayojishughulisha na mkakati wa kupunguza umaskini Ahadiway imeandaa fursa nyingi apatazo mwanachama
wake
Ø Kupata mikopo ya fedha taslimu
Ø Mikopo kwa ajili ya Miradi Mikubwa
Ø Mikopo ya bajaji zinazotumia umeme
Ø Mikopo ya magari
Ø Mikopo ya nyumba za bei nafuu
MIKOPO YA FEDHA TASLIM.
Mwanachama
akishajiunga anatakiwa kuanza kujiwekea akiba ambayo tunaita HISA.
Utaratibu wa kuweka hisa utamsaidia
kukopa `mara mbili pindi atakapofikisha zaidi ya miezi mitatu. Anachotakiwa kufanya ni
kujaza fomu ya mkopo na kueleza kusudi la mkopo na pia fomu yake lazima
isainiwe na wadhamini wanne ambao ni wanachama wenye hisa za kutosha ili
mkopaji akishindwa kulipa kwa muda uliopangwa ,hisa zake na za wadhamini wake
zitakatwa ili kufidia deni lake.
MIKOPO YA
MIRADI MIKUBWA.
Mikopo ya
miradi mikubwa ni mikopo itakayotolewa kwenye kikundi baada ya kukamilika kwa
taratibu zote za usajili. Wanakikundi wanatakiwa kuandaa mchanganuo wa biashara
wanayohitaji kuifanya. Mchanganuo huo wa biashara utawasilishwa makao makuu kwa
ajili ya kuufanyia kazi. Endapo kama kutakuwa na gharama zozote kwa ajili ya
ule mchanganuo, wanakikundi watapewa taarifa ili kulipia hizo gharama. Kiwango
cha mkopo wa mradi kitategemea na aina ya mradi ulioombewa pesa hata kama ni
milioni mia moja.
Pesa za
miradi zinatoka katika taasisi za fedha ambazo tumeingia nazo mkataba kwa ajili
ya wanachama wetu, hata viwango vya riba vitatokana na aina ya mkopo
uliotolewa.
BAJAJI ZA
UMEME.

Hizi ni
bajaji za aina yake ambazo hutolewa na Shirika la Ahadiway pekee. Bajaji hizi
hukopeshwa kwa mwanachama yeyote ili mradi akidhi vigezo na masharti. Kikundi
au mwanachama mmoja mmoja anaruhusiwa kukopa bajaji’ Anachotakiwa kufanya ni
kutanguliza milioni mbili (2,000,000) kama kianzio kisha anapewa bajaji yake.
Mwezi mmoja baada ya kuchukua bajaji anatakiwa kuanza kurejesha deni lake kwa
kipindi cha miezi minane. Gharama ya bajaji hizo ni sh milioni sita tu.
Mikopo ya
magari bado tunaifanyia kazi.
MIKOPO YA
NYUMBA ZA BEI NAFUU.
Tunawasiliana na mashirika yanayojenga nyumba na kuwapatia wanachama wetu fursa za nyumba za bei nafuu kwa ajili ya kutoa huduma hiyo.hata hivyo ahadiway itaanza kujenga nyumba kwa ajili ya wanachama wake tuu ili kuhakikisha kwamba kila mwanachama anapata nafasi ya kuishi katika nyumba bora.
HISA ZA
AHADIWAY.
Hisa ni
akiba au amana ambayo mwanachama atawekeza Ahadiway ili kumuwezesha
kuaminika na kumjengea mazingira mazuri
ya kukopesheka.
UNUNUAJI WA HISA.
Wanakikundi
wanahimizwa kukutana mara kwa mara kwa lengo la kununua hisa zao ambazo kima
cha chini ni sh 2000 na kiwango cha juu hutegemea na mwanachama mwenyewe jinsi
alivyodhamiria kupambana na umaskini. Hisa zinaweza kununuliwa mara moja kwa
wiki, mara mbili kwa mwezi au mara moja kwa mwezi kutegemeana na ratiba ya
wanakikundi wenyewe. Hisa zote zitawekwa benki kwenye akaunti ya Ahadiway Hisa
Account
FAIDA
ZITOKANAZO NA HISA.
Hisa yako
itakusaidia kupata mkopo wa fedha taslim ambao ni mara mbili ya hisa zako.
Kila baada
ya mwaka mmoja baada ya kununua hisa utapata gawiwo au faida ya asilimia
ishirini ya hisa zako au thamani ya kiwango cha faida iliyo patikana.
Pamoja na
hayo hisa itakuwezesha kuaminika na Ahadiway katika kutafutiwa fedha za miradi unayotaka kuifanya.
MATARAJIO
YETU.
· Wanachama wote wa Ahadiway wanatimiza
ndoto zao
· Kufikia mwisho wa mwaka kila kikundi
kiwe kimeshapata mradi mkubwa wa pamoja
· Wanachama wote tutakuwa tumepunguza
umaskini kwa kiwango kikubwa
· Wanachama wote tutakuwa na furaha na
amani tele.
Tunahitaji kila mtanzania apate nafasi ya kufanya kazi kwa hali yoyote na kwa kiwango chochote.
tunatoa mafunzo ya aina mbalimbali ili kuhakikisha walengwa wanapata huduma na fursa zote wanazoweza kuzifikia kwa uwezo wao au kwa msaada kutoka ahadiway.
akiba yako maendeleo yako.
Tunahitaji kila mtanzania apate nafasi ya kufanya kazi kwa hali yoyote na kwa kiwango chochote.
tunatoa mafunzo ya aina mbalimbali ili kuhakikisha walengwa wanapata huduma na fursa zote wanazoweza kuzifikia kwa uwezo wao au kwa msaada kutoka ahadiway.
akiba yako maendeleo yako.
Thursday, 1 January 2015
Employment training( fursa za mikopo na biashara kubwa) mnakaribishwa kiingilio ni bureee
GOOD NEWS, GOOD NEWS, GOOD NEWS!
Life after school training
Fursa za kazi kwa vijana waliopo vyuoni na waliomaliza. Life after school
training Ahadiway life
development initiative imeandaa mafunzo na fursa za wanafunzi waliopo vyuoni na
waliomaliza kuwawezesha kupata kazi mara baada ya kumaliza masomo. Ahadiway
imeandaa mafunzo ya ajira na kujiajiri na kujitambua na kukuwezesha kuwamstari
wa mbele katika maendeleo. Ahadiway itahakikisha kila mhitimu na yule aliopo
chuoni kupata mafunzo na nyenzo za kazi atafanikiwa. Njoo upate nafasi ya
kujiandaa na maisha ya sasa na baada ya chuo na jinsi gani unaweza kuyaandaa
bado ukiwa chuoni. Njoo kwenye mafunzo hayo bila kukosa. Hakuna kiingilio.
Yatafanika jumapili ya tar 04/01/2015 kuanzia saa 8 mchana hadi saa 10 tupo
karibu na ofisi za itv wanaporushia matangazo mwenge Dar es salaam. Msikose kufika ukipata
ujumbe huu mjulishe mwenzako. . Wasiliana kwa number zifuatazo 0655490254 au
0789273938 au tembelea http://ahadiway.blogspot.com/
au https://www.facebook.com/pages/Ahadiway/539124546128964
Join the
event on https://www.facebook.com/events/416281661859413/?source=1
Subscribe to:
Posts (Atom)