Search This Blog

Friday, 7 October 2016

MIKOPO KWA VIKUNDI VYA VICOBA

UTANGULIZI
AHADIWAY ni shirika lisilo la kiserikali ambalo makao yake makuu yapo jirani na msikiti wa tenge, tabata Dar es Salaam lililoanzishwa rasmi Januari 2014 chini ya kifungu cha sheria 12(2) ya 2002 (The Non Government Organisation Act .
DIRA
 Kuboresha maisha ya mtanzania kwa kuwasaidia kupata elimu ya kipato endelevu kuanzia ngazi ya chini


DHAMIRA
Kuhakikisha maisha bora yanapatikana kwa wanawake,wazee vijana na watoto kufikia malengo ya muda mfupi na muda mrefu.

MAFUNZO VIJIJINI

HUDUMA ZITOLEWAZO NA AHADIWAY
Tunatoa mikopo kwa wanavikundi

Ahadiway inahudumia vikundi vya kifedha (VICOBA) vyenye idadi ya wanakikundi wasiopungua 15 na wasiozidi 30, hii ni kutokana na muundo wa mfumo wa vikoba ili kukidhi taratibu za kimfumo wa VICOBA. Kikundi kitapewa mafunzo na kuunganisha na furasa mbali mbali.
Kuna manufaa makubwa kujiunga kwenye kikundi cha VICOBA, pia kuna manufaa makubwa kikundi cha VICOBA kuwa chini ya taasisi msimamizi itakayo wezesha kikundi cha hicho kufikia malengo yake.
Pale kikundi cha VICOBA kitakapo kosa fedha za kukopeshana kwa hitaji la wanakikundi wake, AHADIWAY imeungana   na taasisi za fedha zitakazo wakopesha ili kutimiza malengo ya kila mwanachama kwa masharti nafuu sana bila dhamana ya vitu kama nyumba,gari n.k..

 



PIKIPIKI NA BAJAJ

  

Tunawawezesha wanakikundi kukopeshwa Pikipiki aina Yamaha CRUX, bajaji ambazo zinaendeshwa kwa garama nafuu.

Tunatoa elimu ya  ujasiriamali, kujitambua, na mafunzo ya fedha
 ( kuweka akiba ).

Kubadilisha mtazamo kwa vijana wa Kitanzania walioko vyuoni kuwa wanaweza kuhitimu chuo wakiwa na uwezo wa kuanzisha miradi yao ili kuondokana na mawazo ya kuajiriwa na kufikiri kujiajiri.

Kuwatafutia ajira wale wanaohitaji kufanya kazi nje ya nchi kwa mikataba maalumu.
Kuandaa miradi kitaalamu kwa vikundi na kuitafutia pesa.

 




Tokeo la picha la YAMAHA CRUX


RATIBA ZA MAFUNZO

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
 Jumatatu kuanzia saa tatu mpaka Saa Nane Mchana  9am-2pm

MAFUNZO YA VICOBA NA MIKOPO YA VIKUNDI
Juma tano kuanzia saa tatu mpaka saa nane mchana 9am-2pm

MAFUNZO NAMAWASILIANO MENGINE TEL
0658323414; 0719832002:
0658 974444;0714363239::

Fursa ya makazi

Tuna hakikisha wanavikundi wetu wote wanapata fursa za kupata nyumba za kununua kwa bei nafuu na malipo ya kidogo kidogo kwa muda mrefu ili waweze kuishi katika nyumba bora.

Tunafundisha
a.        Ujasiriamali
b.       Umuhimu wa kufanya kazi kwa vikundi
c.        Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya ukimwi
d.       Tuna elimisha watu kua wakufunzi wa mfumo wa VICOBA ili kuifikia jamii.
e.        Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana.
f.         Stadi za maisha
g.        Ulipaji kodi (TRA)
h.       Kutunza mazingira
i.         Kurasimisha Biashara ili kuepukana na changamoto za kisheria na mamlaka zinazo simamia biashara (TRA na Manispaa)
j.         Ushawishi na utetezi.
k.        Usimamizi wa rasilimali za umma.

Ahadiway inahudumia vikundi vya kifedha (VICOBA) vyenye idadi ya wanakikundi wasiopungua 15 na wasiozidi 30, hii ni kutokana na muundo wa mfumo wa vikoba ili kukidhi taratibu za kimfumo wa VICOBA. Kikundi kitapewa mafunzo na kuunganisha na furasa mbali mbali.
Kuna manufaa makubwa kujiunga kwenye kikundi cha VICOBA, pia kuna manufaa makubwa kikundi cha VICOBA kuwa chini ya taasisi msimamizi itakayo wezesha kikundi cha hicho kufikia malengo yake.
Pale kikundi cha VICOBA kitakapo kosa fedha za kukopeshana kwa hitaji la wanakikundi wake, AHADIWAY imeungana   na taasisi za fedha zitakazo wakopesha ili kutimiza malengo ya kila mwanachama kwa masharti nafuu sana bila dhamana ya vitu kama nyumba,gari n.k..


AHADIWAY MAKAO  MAKUU
SERIKALI YA MTAA WA TENGE, KARIBU NA MSIKITI WA TENGE S.L.P 14778 DAR ES SALAAM,TANZANIA.
TEL +255 658 32 3 414:    ahadiway@gmail.com